Kikao Kazi cha
Maafisa Habari Wa Serikali 2025

3-6 Aprili, New Aman Hotel, Zanziba

Kuhusu Kikao Kazi

Kuhusu Kikao Kazi

Ni Kikao Kazi kinachowakutanisha kila mwaka Maafisa Habari, Maafisa Uhusiano na Maafisa Mawasiliano wa Serikali katika Wizara, Idara, Taasisi na Mamlaka mbalimbali za Serikali ili kutafakari na kufanya tathmin ya kazi zilizofanyika, kuimarishana kitaaluma na kiutendaji, na kuweka mipango ya namna ya kutekeleza majukumu ya Sekta ya Habari.

Karibuni Sana!

Wapi?

New Aman Hotel, Zanzibar

Lini?

Alhamisi hadi Jumapili
Tarehe 3-6 Desemba, 2025

Watoa Mada

Hawa ni baadhi ya Watoa Mada wetu

Speaker 6

Dkt. Amina Msengwa

Mtakwimu Mkuu wa Serikali

Speaker 5

CP. Charles Omari Mkumbo

Mkurugenzi wa Intelijensia ya Jinai

Speaker 4

Kenneth Simbaya

Executive Director of Union of Tanzania Press Clubs

Speaker 2

Dkt. Victor Eliah

Mtayarishaji wa Vipindi Mwandamizi TBC

Speaker 1

Mr. Mike Mushi

Media & Digital Technology Entrepreneur

Speaker 3

Salum Ramadhan Abdalla

Director, Department of Information, Maelezo Zanzibar

Eneo la Tukio

Taarifa na baadhi ya picha kuhusu eneo la Kikao Kazi

New Amaan Hotel, Zanzibar

Iko katika Jiji la Zanzibar, kilomita 3.9 kutoka Makumbusho ya Kumbukumbu ya Amani, kilomita 3.9 kutoka Bafu za Kiajemi za Hamamni(Hamamni Persian Baths), kilomita 4.1 kutoka Cinema Afrique kilomita 4.4 kutoka Zahanati ya Kale na kilomita 6 kutoka Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume. Huduma ni saa 24.

Wasiliana Nasi

Wasiliana nasi kupitia mratibu wetu

FRANK MVUNGI

AFISA HABARI MWANDAMIZI, IDARA YA HABARI (MAELEZO)